Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 50:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Farao akasema, Nenda, ukamzike baba yako, kama alivyokuapisha.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Farao akajibu, “Nenda ukamzike baba yako kama alivyokuapisha.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Farao akajibu, “Nenda ukamzike baba yako kama alivyokuapisha.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Farao akajibu, “Nenda ukamzike baba yako kama alivyokuapisha.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Farao akasema, “Panda, uende kumzika baba yako, kama alivyokuapiza kufanya.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Farao akasema, “Panda, uende kumzika baba yako, kama alivyokuapiza kufanya.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Farao akasema, Nenda, ukamzike baba yako, kama alivyokuapisha.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 50:6
3 Marejeleo ya Msalaba  

Israeli akamwambia Yusufu, Angalia, mimi ninakufa, lakini Mungu atakuwa pamoja nanyi, naye atawarudisha mpaka nchi ya baba zenu.


Mimi ni katika kufa, unizike katika kaburi langu nililojichimbia katika nchi ya Kanaani. Basi tafadhali uniruhusu niende sasa nikamzike babangu, nami nitarudi.


Basi Yusufu akaenda kumzika baba yake, na watumishi wote wa Farao wakaenda pamoja naye, wazee wa nyumbani mwake, na wazee wote wa nchi ya Misri.