Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 5:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Enoshi akaishi miaka tisini, akamzaa Kenani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Enoshi alipokuwa na umri wa miaka 90, alimzaa Kenani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Enoshi alipokuwa na umri wa miaka 90, alimzaa Kenani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Enoshi alipokuwa na umri wa miaka 90, alimzaa Kenani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Enoshi alipokuwa ameishi miaka tisini, akamzaa Kenani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Enoshi alipokuwa ameishi miaka tisini, akamzaa Kenani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Enoshi akaishi miaka tisini, akamzaa Kenani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 5:9
4 Marejeleo ya Msalaba  

Enoshi akaishi baada ya kumzaa Kenani miaka mia nane na kumi na mitano, akazaa wana, wa kiume na wa kike.


Siku zote za Sethi ni miaka mia tisa na kumi na miwili, akafa.


na Kenani, na Mahalaleli, na Yaredi;


wa Methusela, wa Henoko, wa Yaredi, wa Mahalaleli, wa Kenani,