Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 5:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Siku zote za Adamu alizoishi ni miaka mia tisa na thelathini, naye akafa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Adamu alifariki akiwa na umri wa miaka 930.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Adamu alifariki akiwa na umri wa miaka 930.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Adamu alifariki akiwa na umri wa miaka 930.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Adamu aliishi jumla ya miaka mia tisa na thelathini, ndipo akafa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Adamu aliishi jumla ya miaka 930, ndipo akafa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Siku zote za Adamu alizoishi ni miaka mia tisa na thelathini, naye akafa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 5:5
21 Marejeleo ya Msalaba  

kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi.


Siku zote za Enoshi ni miaka mia tisa na mitano, akafa.


Siku za Adamu baada ya kumzaa Sethi zilikuwa miaka mia nane, akazaa wana, wa kiume na wa kike.


Sethi akaishi miaka mia moja na mitano, akamzaa Enoshi.


Siku zote za Sethi ni miaka mia tisa na kumi na miwili, akafa.


Kwa kuwa hatuna budi kufa, nasi tu kama maji yaliyomwagika chini, yasiyoweza kuzoleka tena; wala Mungu haondoi maisha ila hufikiri shauri, kwamba yeye aliyefukuzwa asiwe mkimbizi kwake.


Adamu, na Sethi, na Enoshi;


Kwani najua kuwa utanileta hata kifoni, Niifikie nyumba waliyoaandaliwa wenye uhai wote.


Ni mwanamume gani atakayeishi asione mauti, Atakayejiokoa nafsi yake na mkono wa kuzimu?


Miaka ya maisha yetu ni sabini, Na ikiwa tuna nguvu miaka themanini; Tena kiburi chake ni taabu na ubatili, Maana wakati unapita upesi nasi kutokomea punde.


Naam, wataogopa kilichoinuka Na vitisho vitakuwapo njiani; Na mlozi utachanua maua; Na panzi atakuwa ni mzigo mzito; Na pilipili hoho itapasuka; Maana mtu aiendea nyumba yake ya milele, Nao waombolezao wazunguka njiani.


Nayo mavumbi kuirudia nchi kama yalivyokuwa, Nayo roho kumrudia Mungu aliyeitoa.


kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lolote, wala hawana tuzo tena; maana hata kumbukumbu lao limesahauliwa.


Mavazi yako na yawe meupe sikuzote; wala kichwa chako kisikose manukato.


Tazama, roho zote ni mali yangu; kama vile roho ya baba ni mali yangu, ndivyo ilivyo roho ya mwana mali yangu; roho ile itendayo dhambi itakufa.


kumpenda BWANA, Mungu wako, kuitii sauti yake, na kushikamana naye; kwani hiyo ndiyo uzima wako, na wingi wa siku zako; upate kukaa katika nchi BWANA aliyowaapia baba zako, Abrahamu, na Isaka, na Yakobo, kuwa atawapa.


Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu;