Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 5:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Siku zote za Methusela ni miaka mia tisa na sitini na tisa, akafa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Methusela alifariki akiwa na umri wa miaka 969.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Methusela alifariki akiwa na umri wa miaka 969.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Methusela alifariki akiwa na umri wa miaka 969.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Methusela aliishi jumla ya miaka mia tisa sitini na tisa (969), ndipo akafa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Methusela aliishi jumla ya miaka 969, ndipo akafa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Siku zote za Methusela ni miaka mia tisa na sitini na tisa, akafa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 5:27
6 Marejeleo ya Msalaba  

Yakobo akamjibu Farao, Siku za kuishi kwangu ni miaka mia moja na thelathini; siku za maisha yangu zimekuwa chache, tena za taabu, wala hazikufikia siku za maisha ya baba zangu katika siku za kuishi kwao.


Methusela akaishi baada ya kumzaa Lameki miaka mia saba na themanini na miwili, akazaa wana, wa kiume na wa kike.


Lameki akaishi miaka mia moja na themanini na miwili, akazaa mwana.


Siku zote za Nuhu zilikuwa miaka mia tisa na hamsini, akafa.


Naye huyo Barzilai alikuwa mzee sana, alikuwa na umri wa miaka themanini; naye amemlisha mfalme hapo alipokuwapo Mahanaimu; kwa kuwa alikuwa mtu mwenye cheo kikubwa.


Hawatajenga, kisha akakaa mtu mwingine ndani yake; hawatapanda, kisha akala mtu mwingine; maana kama siku za mti ndivyo zitakavyokuwa siku za watu wangu, na wateule wangu wataifurahia kazi ya mikono yao muda wa siku nyingi.