Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 5:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Siku zote za Yaredi ni miaka mia tisa na sitini na miwili, akafa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yaredi alifariki akiwa na umri wa miaka 962.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yaredi alifariki akiwa na umri wa miaka 962.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yaredi alifariki akiwa na umri wa miaka 962.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yaredi aliishi jumla ya miaka mia tisa na sitini na mbili (962), ndipo akafa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yaredi aliishi jumla ya miaka 962, ndipo akafa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Siku zote za Yaredi ni miaka mia tisa na sitini na miwili, akafa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 5:20
3 Marejeleo ya Msalaba  

Yaredi akaishi baada ya kumzaa Henoko miaka mia nane, akazaa wana, wa kiume na wa kike.


Henoko akaishi miaka sitini na mitano, akamzaa Methusela.


Siku zote za Nuhu zilikuwa miaka mia tisa na hamsini, akafa.