Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 49:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

shamba na pango lililomo lililonunuliwa kwa wazawa wa Hethi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Shamba hilo na pango lake lilinunuliwa kwa Wahiti.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Shamba hilo na pango lake lilinunuliwa kwa Wahiti.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Shamba hilo na pango lake lilinunuliwa kwa Wahiti.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Shamba hilo na pango lililo ndani yake lilinunuliwa kutoka kwa Wahiti.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Shamba hilo na pango lililoko ndani yake lilinunuliwa kutoka kwa Wahiti.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

shamba na pango lililomo lililonunuliwa kwa wazawa wa Hethi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 49:32
4 Marejeleo ya Msalaba  

Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi,


Humo walimzika Abrahamu, na Sara mkewe; humo wakamzika Isaka, na Rebeka mkewe; nami humo nikamzika Lea;


Basi Yakobo alipokwisha kuwaagiza wanawe, akakunja miguu yake kitandani, akafa, akakusanywa pamoja na watu wake.