Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 49:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Naftali ni ayala aliyefunguliwa; Anatoa maneno mazuri.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Naftali ni kama paa aliye huru, azaaye watoto walio wazuri.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Naftali ni kama paa aliye huru, azaaye watoto walio wazuri.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Naftali ni kama paa aliye huru, azaaye watoto walio wazuri.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Naftali ni kulungu jike aliyeachiwa huru azaaye watoto wazuri.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Naftali ni kulungu jike aliyeachiwa huru azaaye watoto wazuri.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naftali ni ayala aliyefunguliwa; Anatoa maneno mazuri.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 49:21
13 Marejeleo ya Msalaba  

Raheli akasema, Kwa mashindano makuu nimeshindana na dada yangu, nikashinda. Akamwita jina lake Naftali.


Na wana wa Naftali; Yaseeli, na Guni, na Yaseri, na Shilemu.


Wakamwambia, wakasema, Ukiwa mwema kwao watu hawa, na kuwapendeza, na kuwaambia maneno mazuri, hapo watakuwa watumishi wako siku zote.


Ni ayala apendaye na paa apendezaye; Matiti yake yakutoshe sikuzote; Na kwa upendo wake ushangilie daima.


Nawasihi, enyi binti za Yerusalemu, Kwa paa na kwa ayala wa porini, Msiyachochee mapenzi, wala kuyaamsha, Hata yatakapoona vema yenyewe.


Naam, kulungu naye uwandani amezaa, Akamwacha mwanawe kwa kuwa hakuna majani.


Na Naftali akamnena, Ee Naftali, uliyeshiba fadhili, Uliyejawa na baraka ya BWANA; Umiliki magharibi na kusini.


Baraka akawakutanisha Naftali na Zabuloni waende Kedeshi wakakwea watu elfu kumi wakimfuata; Debora naye akaenda pamoja naye.


Siku moja Debora akatuma mtu akamwita Baraka wa Abinoamu kutoka Kedesh-Naftali, akamwambia, BWANA, Mungu wa Israeli anakuamuru hivi: “Nenda, ukawaogoze watu elfu kumi na wana wa Naftali, na wa wana wa Zabuloni, ili washike doria katika mlima Tabori”.


Zabuloni ndio watu waliohatarisha roho zao hadi kufa; Nao Naftali mahali palipoinuka kondeni.