Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 48:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Israeli akawaona wana wa Yusufu, akasema, Ni nani hawa?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Israeli alipowaona wana wa Yosefu, akamwuliza, “Ni akina nani hawa?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Israeli alipowaona wana wa Yosefu, akamwuliza, “Ni akina nani hawa?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Israeli alipowaona wana wa Yosefu, akamwuliza, “Ni akina nani hawa?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Israeli alipowaona wana wa Yusufu, akauliza, “Hawa ni nani?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakati Israeli alipowaona wana wa Yusufu, akauliza, “Hawa ni nani?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Israeli akawaona wana wa Yusufu, akasema, Ni nani hawa?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 48:8
3 Marejeleo ya Msalaba  

Na macho ya Israeli yalikuwa mazito kwa uzee, wala hakuweza kuona vizuri. Akawaleta kwake, naye akawabusu, na kuwakumbatia.


Yusufu akamwambia babaye, Hawa ni wanangu, Mungu alionipa nikiwa hapa. Akasema, Tafadhali uwalete kwangu nami nitawabariki.


Mtafuteni BWANA, nanyi mtaishi; asije akawaka kama moto katika nyumba ya Yusufu, nao ukateketeza, asiwepo mtu awezaye kuuzima katika Betheli.