Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 46:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Itakuwa Farao atakapowaita, na kuwauliza, Kazi yenu ni nini?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Farao akiwaita na kuwaulizeni, ‘Kazi yenu ni nini?’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Farao akiwaita na kuwaulizeni, ‘Kazi yenu ni nini?’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Farao akiwaita na kuwaulizeni, ‘Kazi yenu ni nini?’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Farao atakapowaita na kuwauliza, ‘Kazi yenu ni nini?’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Farao atakapowaita na kuwaulizeni, ‘Kazi yenu ni nini?’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Itakuwa Farao atakapowaita, na kuwauliza, Kazi yenu ni nini?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 46:33
3 Marejeleo ya Msalaba  

Na watu hao ni wachungaji, maana wamekuwa watu wa kuchunga wanyama, nao wameleta kondoo zao, na ng'ombe zao, na yote waliyo nayo.


Ndipo wakamwambia, Tafadhali utuambie, wewe ambaye mabaya haya yametupata kwa sababu yako; kazi yako ni kazi gani? Nawe umetoka wapi? Nchi yako ni nchi ipi? Nawe u mtu wa kabila gani?