Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 46:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hao ndio wana wa Bilha, ambaye Labani alimpa Raheli, binti yake, naye akamzalia Yakobo hao; wote walikuwa watu saba.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hao saba ni watoto na wajukuu wa Yakobo na Bilha, mjakazi ambaye Labani alimpa binti yake Raheli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hao saba ni watoto na wajukuu wa Yakobo na Bilha, mjakazi ambaye Labani alimpa binti yake Raheli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hao saba ni watoto na wajukuu wa Yakobo na Bilha, mjakazi ambaye Labani alimpa binti yake Raheli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hawa walikuwa wana wa Bilha aliomzalia Yakobo, ambaye Labani alikuwa amempa Raheli binti yake; jumla yao walikuwa saba.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hawa walikuwa wana wa Bilha aliomzalia Yakobo, ambaye Labani alikuwa amempa Raheli binti yake; jumla yao walikuwa saba.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hao ndio wana wa Bilha, ambaye Labani alimpa Raheli, binti yake, naye akamzalia Yakobo hao; wote walikuwa watu saba.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 46:25
6 Marejeleo ya Msalaba  

Labani akampa binti yake Raheli mjakazi wake Bilha, awe mjakazi wake.


Ikawa Israeli alipokuwa akikaa katika nchi ile, Reubeni akaenda akalala na Bilha, suria wa babaye; Israeli akasikia habari. Basi hao wana wa Yakobo walikuwa kumi na wawili.


Wana wa Bilha, kijakazi wa Raheli, ni Dani na Naftali.


Na wana wa Naftali; Yaseeli, na Guni, na Yaseri, na Shilemu.


Reubeni, na Simeoni na Lawi, na Yuda;