Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 46:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na wana wa Dani; Hushimu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Dani na Hushimu, mwanawe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Dani na Hushimu, mwanawe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Dani na Hushimu, mwanawe.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwana wa Dani ni: Hushimu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwana wa Dani ni: Hushimu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wana wa Dani; Hushimu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 46:23
13 Marejeleo ya Msalaba  

Raheli akasema, Mungu amenipa haki yangu, naye amesikia sauti yangu, akanipa mwana. Kwa hiyo akamwita jina lake Dani.


Wana wa Bilha, kijakazi wa Raheli, ni Dani na Naftali.


Hao ndio wana wa Raheli, aliomzalia Yakobo, wote walikuwa watu kumi na wanne.


Na wana wa Naftali; Yaseeli, na Guni, na Yaseri, na Shilemu.


Na wa Wadani, watu hodari wa kupanga vita, elfu ishirini na nane na mia sita.


na Dani, na Yusufu, na Benyamini, na Naftali, na Gadi, na Asheri.


Tena Shupimu, na Hupimu, wana wa Iri; na Hushimu, wana wa Aheri.


Wa Dani; Ahiezeri mwana wa Amishadai.


Kisha beramu ya kambi ya wana wa Dani, ambayo ilikuwa ni nyuma ya makambi yote, ikasafiri, kwa majeshi yao; na juu ya jeshi lake ni Ahiezeri mwana wa Amishadai.


Na Dani akamnena, Dani ni mwanasimba, Arukaye kutoka Bashani.