Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 46:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wana wa Raheli, mkewe Yakobo, Yusufu na Benyamini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Raheli alimzalia Yakobo wana wawili: Yosefu na Benyamini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Raheli alimzalia Yakobo wana wawili: Yosefu na Benyamini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Raheli alimzalia Yakobo wana wawili: Yosefu na Benyamini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wana wa Raheli mke wa Yakobo ni: Yusufu na Benyamini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wana wa Raheli mke wa Yakobo ni: Yusufu na Benyamini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wana wa Raheli, mkewe Yakobo, Yusufu na Benyamini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 46:19
18 Marejeleo ya Msalaba  

Yakobo akampenda Raheli akasema, Nitakutumikia miaka saba kwa kumpata Raheli, binti yako mdogo.


Akamwita jina lake Yusufu, akisema, Bwana aniongeze mwana mwingine.


Wana wa Raheli, ni Yusufu na Benyamini.


Basi Yusufu akaletwa mpaka Misri, naye Potifa, ofisa wa Farao, mkuu wa askari walinzi, mtu wa Misri, akamnunua mkononi mwa hao Waishmaeli waliomleta huko.


Mtumwa wako, baba yangu, akatuambia, Mnajua ya kuwa mke wangu alinizalia wana wawili;


Hao ndio wana wa Zilpa, ambaye Labani alimpa Lea, binti yake, naye akamzalia Yakobo hao, watu kumi na sita.


Walizaliwa kwake Yusufu katika nchi ya Misri, Manase na Efraimu, aliomzalia Asenathi binti Potifera, kuhani wa Oni.


na Dani, na Yusufu, na Benyamini, na Naftali, na Gadi, na Asheri.


na Isakari, na Zabuloni, na Benyamini;


Na wale watu wote waliotokana na uzao wa Yakobo walikuwa watu sabini; na huyo Yusufu alikuwa huko ndani ya Misri tangu hapo.