Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 46:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hao ndio wana wa Zilpa, ambaye Labani alimpa Lea, binti yake, naye akamzalia Yakobo hao, watu kumi na sita.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hawa kumi na sita ni watoto na wajukuu wa Yakobo na Zilpa, mjakazi ambaye Labani alimpa Lea, binti yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hawa kumi na sita ni watoto na wajukuu wa Yakobo na Zilpa, mjakazi ambaye Labani alimpa Lea, binti yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hawa kumi na sita ni watoto na wajukuu wa Yakobo na Zilpa, mjakazi ambaye Labani alimpa Lea, binti yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hawa ndio watoto Zilpa aliomzalia Yakobo, ambaye Labani alimpa binti yake Lea; jumla yao walikuwa kumi na sita.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hawa ndio watoto Zilpa aliomzalia Yakobo, ambao Labani alimpa binti yake Lea; jumla yao walikuwa kumi na sita.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hao ndio wana wa Zilpa, ambaye Labani alimpa Lea, binti yake, naye akamzalia Yakobo hao, watu kumi na sita.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 46:18
6 Marejeleo ya Msalaba  

Labani akampa Lea mjakazi wake Zilpa, awe mjakazi wake.


Wana wa Zilpa, kijakazi wa Lea, ni Gadi na Asheri. Hawa ndio wana wa Yakobo aliozaliwa katika Padan-aramu.


Na wana wa Asheri; Imna, na Ishva, na Ishvi, na Beria, na Sera, dada yao. Na wana wa Beria ni Heberi, na Malkieli.


Wana wa Raheli, mkewe Yakobo, Yusufu na Benyamini.


na Dani, na Naftali, na Gadi, na Asheri.