Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 46:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na wana wa Gadi; Sefoni, na Hagi, na Shuni, na Esboni, na Eri, na Arodi, na Areli.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Gadi na wanawe: Sifioni, Hagi, Shuni, Esboni, Eri, Arodi na Areli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Gadi na wanawe: Sifioni, Hagi, Shuni, Esboni, Eri, Arodi na Areli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Gadi na wanawe: Sifioni, Hagi, Shuni, Esboni, Eri, Arodi na Areli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wana wa Gadi ni: Sefoni, Hagi, Shuni, Esboni, Eri, Arodi, na Areli.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wana wa Gadi ni: Sefoni, Hagi, Shuni, Esboni, Eri, Arodi na Areli.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wana wa Gadi; Sefoni, na Hagi, na Shuni, na Esboni, na Eri, na Arodi, na Areli.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 46:16
10 Marejeleo ya Msalaba  

Lea akasema, Bahati njema! Akamwita jina lake Gadi.


Wana wa Zilpa, kijakazi wa Lea, ni Gadi na Asheri. Hawa ndio wana wa Yakobo aliozaliwa katika Padan-aramu.


Hao ndio wana wa Lea, aliomzalia Yakobo katika Padan-aramu, na Dina, binti yake. Wanawe wote wa kiume na kike walikuwa watu thelathini na watatu.


Gadi, jeshi litamsonga, Lakini atawasonga wao mpaka visigino.


na Dani, na Yusufu, na Benyamini, na Naftali, na Gadi, na Asheri.


Wa Benyamini Abidani mwana wa Gideoni.