Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 46:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na wana wa Zabuloni; Seredi, na Eloni, na Yaleeli.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Zebuluni na wanawe: Seredi, Eloni na Yaleeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Zebuluni na wanawe: Seredi, Eloni na Yaleeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Zebuluni na wanawe: Seredi, Eloni na Yaleeli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wana wa Zabuloni ni: Seredi, Eloni, na Yaleeli.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wana wa Zabuloni ni: Seredi, Eloni na Yaleeli.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wana wa Zabuloni; Seredi, na Eloni, na Yaleeli.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 46:14
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Isakari; Tola, na Puva, na Yashubu, na Shimroni.


Hao ndio wana wa Lea, aliomzalia Yakobo katika Padan-aramu, na Dina, binti yake. Wanawe wote wa kiume na kike walikuwa watu thelathini na watatu.


Zabuloni atakaa pwani ya bahari, Naye atakuwa kama pwani za kuegesha merikebu, Na mpaka wake utakuwa kando ya Sidoni.


Hawa ndio wana wa Israeli; Reubeni, na Simeoni, na Lawi, na Yuda, na Isakari, na Zabuloni;


Wa Zabuloni; Eliabu mwana wa Heloni.