Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 46:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na wana wa Isakari; Tola, na Puva, na Yashubu, na Shimroni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Isakari na wanawe: Tola, Puva, Yashubu na Shimroni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Isakari na wanawe: Tola, Puva, Yashubu na Shimroni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Isakari na wanawe: Tola, Puva, Yashubu na Shimroni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wana wa Isakari ni: Tola, Puva, Yashubu, na Shimroni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wana wa Isakari ni: Tola, Puva, Yashubu na Shimroni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wana wa Isakari; Tola, na Puva, na Yashubu, na Shimroni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 46:13
12 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Lea ni Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa Yakobo, na Simeoni, na Lawi, na Yuda, na Isakari, na Zabuloni.


Na wana wa Yuda; Eri, na Onani, na Shela, na Peresi, na Zera; lakini Eri na Onani walikufa katika nchi ya Kanaani. Na wana wa Peresi, ni Hesroni, na Hamuli.


Na wana wa Zabuloni; Seredi, na Eloni, na Yaleeli.


Na wa wana wa Isakari, watu wenye akili za kujua nyakati, kuyajua yawapasayo Israeli wayatende; vichwa vyao walikuwa watu mia mbili na ndugu zao wote walikuwa chini ya amri yao.


Hawa ndio wana wa Israeli; Reubeni, na Simeoni, na Lawi, na Yuda, na Isakari, na Zabuloni;


Wa Isakari; Nethaneli mwana wa Suari.


Na Zabuloni akamnena, Furahi Zabuloni, katika kutoka kwako; Na Isakari, katika hema zako.