Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 45:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akaagana na ndugu zake, wakaenda zao; naye akawaambia, Msigombane njiani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Yosefu akaagana na ndugu zake. Walipokuwa wanaondoka aliwaonya akisema, “Msigombane njiani!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Yosefu akaagana na ndugu zake. Walipokuwa wanaondoka aliwaonya akisema, “Msigombane njiani!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Yosefu akaagana na ndugu zake. Walipokuwa wanaondoka aliwaonya akisema, “Msigombane njiani!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akaagana na ndugu zake walipokuwa wakiondoka, akawaambia, “Msigombane njiani!”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akaagana na ndugu zake walipokuwa wakiondoka, akawaambia, “Msigombane njiani!”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akaagana na ndugu zake, wakaenda zao; naye akawaambia, Msigombane njiani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 45:24
10 Marejeleo ya Msalaba  

Reubeni akawaambia, Msimwage damu; mtupeni katika shimo hili lililopo nyikani, wala msimguse; ili apate kumwokoa katika mikono yao, akamrudishe kwa baba yake.


Na baba yake akampelekea vifuatavyo: punda kumi waliochukua mema ya Misri, na punda majike kumi waliochukua nafaka, na mikate, na chakula cha njiani kwa babaye.


Wakatoka Misri, wakafika nchi ya Kanaani kwa Yakobo, baba yao.


mkawastahi sana katika upendo, kwa ajili ya kazi zao. Iweni na amani ninyi kwa ninyi.