Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 42:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yusufu akawatambua nduguze, bali wao hawakumtambua yeye.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ingawa Yosefu aliwatambua kaka zake, wao hawakumtambua.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ingawa Yosefu aliwatambua kaka zake, wao hawakumtambua.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ingawa Yosefu aliwatambua kaka zake, wao hawakumtambua.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ingawa Yusufu aliwatambua ndugu zake, wao hawakumtambua.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ingawa Yusufu aliwatambua ndugu zake, wao hawakumtambua.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yusufu akawatambua nduguze, bali wao hawakumtambua yeye.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 42:8
5 Marejeleo ya Msalaba  

Hivi ndivyo vizazi vya Yakobo. Yusufu, aliyekuwa mwenye miaka kumi na saba, alikuwa akichunga kondoo pamoja na ndugu zake; naye alikuwa kijana pamoja na wana wa Bilha, na wana wa Zilpa, wake wa baba yake. Yusufu akamletea baba yao habari zao mbaya.


Naye Yusufu alikuwa mwenye miaka thelathini, aliposimama mbele ya Farao, mfalme wa Misri. Yusufu akatoka mbele ya uso wa Farao, akasafiri katika nchi yote ya Misri.


Macho yao yakafumbwa wasimtambue.


Naye akiisha kusema hayo, akageuka nyuma, akamwona Yesu amesimama, asijue ya kuwa ni Yesu.


Asubuhi kulipokucha, Yesu alisimama ufuoni; lakini wanafunzi hawakujua ya kuwa ni Yesu.