Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 42:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wakawatwika punda wao nafaka yao, wakatoka huko.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakawatwisha punda wao mizigo yao ya nafaka, wakaondoka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakawatwisha punda wao mizigo yao ya nafaka, wakaondoka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakawatwisha punda wao mizigo yao ya nafaka, wakaondoka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

wakapakiza nafaka juu ya punda wao, wakaondoka.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

wakapakiza nafaka juu ya punda zao, wakaondoka.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakawatwika punda wao nafaka yao, wakatoka huko.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 42:26
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kama ninyi ni wa kweli, mmoja wenu na afungwe gerezani, nanyi mwende mkachukue nafaka kwa ajili ya njaa ya nyumba zenu,


mkamlete ndugu yenu mdogo kwangu; hivyo maneno yenu yatahakikishwa, wala hamtakufa. Ndivyo walivyofanya.


Yusufu akaamuru kuvijaza vyombo vyao nafaka, na kumrudishia kila mtu fedha yake katika gunia lake, na kuwapa chakula cha njiani. Na hivyo ndivyo walivyofanyiwa.


Mmoja wao alipofungua gunia lake ili ampe punda wake chakula katika nyumba ya wageni, aliiona fedha yake; kumbe! Iko kinywani mwa gunia lake.


Je! Utamtumaini kwa sababu ana nguvu nyingi? Au, utamwachia yeye kazi yako?