Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 42:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akawatia wote gerezani siku tatu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha akawatia wote gerezani kwa muda wa siku tatu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha akawatia wote gerezani kwa muda wa siku tatu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha akawatia wote gerezani kwa muda wa siku tatu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akawaweka wote chini ya ulinzi kwa siku tatu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akawaweka wote chini ya ulinzi kwa siku tatu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawatia wote gerezani siku tatu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 42:17
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mkuu wa askari akamwekea Yusufu watu hao, naye akawahudumia, nao wakakaa siku kadhaa katika kifungo.


Akawauliza hao maofisa wa Farao, waliokuwa pamoja naye katika kifungo, nyumbani mwa bwana wake, akisema, Mbona nyuso zenu zimekunjamana leo?


Farao aliwakasirikia watumishi wake, akanitia nifungwe nyumbani mwa mkuu wa askari walinzi, mimi na mkuu wa waokaji.


Umemtendea mtumishi wako mema, Ee BWANA, sawasawa na neno lako.


nao watakusanywa pamoja kama vile wakusanywavyo wafungwa katika shimo nao watafungwa katika gereza; na baada ya muda wa siku nyingi wataadhibiwa.


Nao wakamtia kifungoni, ili wapate kuambiwa neno litakalotoka kinywani pa BWANA.


Wakawakamata, wakawaweka gerezani hadi asubuhi; kwa kuwa imekwisha kuwa jioni.


wakawakamata mitume wakawaweka ndani ya gereza;


Maana ni hakika, hao kwa siku chache waliturudi kama walivyoona vema wenyewe; bali yeye kwa faida yetu, ili tuushiriki utakatifu wake.