Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 42:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yusufu akawaambia, Ndivyo nilivyowaambia, nikisema, Wapelelezi ninyi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini Yosefu akawaambia, “Ni kama nilivyosema: Nyinyi ni wapelelezi tu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini Yosefu akawaambia, “Ni kama nilivyosema: Nyinyi ni wapelelezi tu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini Yosefu akawaambia, “Ni kama nilivyosema: nyinyi ni wapelelezi tu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yusufu akawaambia, “Kama nilivyowaambia: Ninyi ni wapelelezi!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yusufu akawaambia, “Ni sawa kabisa kama nilivyowaambia: Ninyi ni wapelelezi!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yusufu akawaambia, Ndivyo nilivyowaambia, nikisema, Wapelelezi ninyi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 42:14
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wakamwambia, Sisi watumwa wako tu ndugu kumi na wawili, wana wa mtu mmoja katika nchi ya Kanaani; na mdogo wetu yuko pamoja na baba yetu leo, na mmoja hayuko.


Mtabainika kwa njia hii; aishivyo Farao, hamtoki hapa, asipokuja huku huyo ndugu yenu mdogo.


Mbona umeuficha uso wako, Na kunihesabu kuwa ni adui yako?


Tena ameziwasha ghadhabu zake juu yangu, Akanihesabia kuwa mmoja katika watesi wake.