Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 42:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wakamwambia, Hasha, bwana, watumwa wako tumekuja ili tununue chakula.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wao wakamjibu, “Sivyo, bwana wetu. Sisi watumishi wako tumekuja kununua chakula.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wao wakamjibu, “Sivyo, bwana wetu. Sisi watumishi wako tumekuja kununua chakula.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wao wakamjibu, “Sivyo, bwana wetu. Sisi watumishi wako tumekuja kununua chakula.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakamjibu, “Sivyo, bwana. Watumishi wako wamekuja kununua chakula.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakamjibu, “Sivyo bwana wangu. Watumishi wako wamekuja kununua chakula.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakamwambia, Hasha, bwana, watumwa wako tumekuja ili tununue chakula.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 42:10
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mataifa na wakutumikie Na makabila wakusujudie, Uwe bwana wa ndugu zako, Na wana wa mama yako na wakusujudie. Alaaniwe yeyote yule atakayekulaani, Na abarikiwe yeyote yule atakayekubariki.


Isaka akajibu, akamwambia Esau, Tazama, nimemfanya awe bwana wako, na ndugu zake wote nimempa kuwa watumishi wake; kwa nafaka na mvinyo nimemtegemeza, nami nikufanyie nini sasa, mwanangu?


Ndugu zake wakamwambia, Je! Kweli wewe utatumiliki sisi? Nawe utatutawala sisi? Wakazidi kumchukia kwa ajili ya ndoto yake, na kwa maneno yake.


Sisi sote ni wana wa mtu mmoja tu watu wa kweli sisi; watumwa wako si wapelelezi.


Atakayeonekana kuwa nacho miongoni mwa watumwa wako, na afe, na sisi nasi tutakuwa watumwa wa bwana wangu.


Na Obadia alipokuwa njiani, kumbe! Eliya akakutana naye. Akamtambua, akaanguka kifudifudi, akanena, Je! Ni wewe, bwana wangu Eliya?


Naye Sauli akaitambua sauti ya Daudi, akasema, Hii ndiyo sauti yako, Daudi, mwanangu? Daudi akasema, Ndiyo, ni sauti yangu, bwana wangu, mfalme.