Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 41:53 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Miaka ile saba ya shibe ikaisha katika nchi ya Misri,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Miaka ile saba ya shibe nchini Misri ikapita.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Miaka ile saba ya shibe nchini Misri ikapita.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Miaka ile saba ya shibe nchini Misri ikapita.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ile miaka saba ya shibe huko Misri ikaisha,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ile miaka saba ya neema huko Misri ikaisha,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Miaka ile saba ya shibe ikaisha katika nchi ya Misri,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 41:53
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na wa pili akamwita jina lake Efraimu, maana alisema, Mungu amenipa uzazi katika nchi ya mateso yangu.


ikaanza kuja miaka ile saba ya njaa, kama vile Yusufu alivyosema. Kukawa na njaa katika nchi zote, bali katika nchi yote ya Misri palikuwa na chakula.


Maana miaka hii miwili njaa imekuwa katika nchi, na iko tena miaka mitano isiyo ya kulima wala kuvuna.


Ee Bwana, wamekuwa kama ndoto wakati wa kuamka, Uondokapo utaidharau sanamu yao.


Abrahamu akasema, Mwanangu, kumbuka ya kwamba wewe uliyapokea mambo yako mema katika maisha yako, na Lazaro vivyo alipata mabaya; na sasa yeye yupo hapa anafarijiwa, na wewe unateseka.