Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 40:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini huyo mkuu wa wanyweshaji hakumkumbuka Yusufu, alimsahau.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hata hivyo, yule mtunza vinywaji mkuu akamsahau Yosefu, badala ya kumkumbuka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hata hivyo, yule mtunza vinywaji mkuu akamsahau Yosefu, badala ya kumkumbuka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hata hivyo, yule mtunza vinywaji mkuu akamsahau Yosefu, badala ya kumkumbuka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini mnyweshaji mkuu hakumkumbuka Yusufu, bali alimsahau.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Pamoja na hayo, mnyweshaji mkuu hakumkumbuka Yusufu, bali alimsahau.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini huyo mkuu wa wanyweshaji hakumkumbuka Yusufu, alimsahau.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 40:23
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, baada ya miaka miwili mizima, Farao akaota ndoto; na tazama, amesimama kando ya mto.


Basi mkuu wa wanyweshaji akamwambia Farao akisema, Nayakumbuka makosa yangu leo.


Mfalme akasema, Je! Ni heshima gani au hadhi gani Mordekai aliyofanyiwa kwa ajili ya hayo? Watumishi wa mfalme waliomhudumia wakamwambia, Hakuna alilofanyiwa.


Watu wa ukoo wangu wamekoma, Na marafiki zangu niwapendao wamenisahau.


Hadi wakati wa kuwadia neno lake, Ahadi ya BWANA ilimjaribu.


Nimesahauliwa kama mfu asiyekumbukwa; Nimekuwa kama chombo kilichovunjika.


Maana nimesikia wengi wakinong'onezana; Hofu katika pande zote. Waliposhauriana juu yangu, Walipanga kunitoa uhai wangu.


ninyi mnaokunywa divai katika mabakuli, na kujipaka marhamu iliyo nzuri; lakini hawahuzuniki kwa sababu ya mateso ya Yusufu.