Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 40:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Bali akamtundika mkuu wa waokaji, kama Yusufu alivyowafasiria.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini yule mwoka mkate mkuu akamtundika mtini, kama Yosefu alivyokuwa amewatafsiria ndoto zao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini yule mwoka mkate mkuu akamtundika mtini, kama Yosefu alivyokuwa amewatafsiria ndoto zao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini yule mwoka mkate mkuu akamtundika mtini, kama Yosefu alivyokuwa amewatafsiria ndoto zao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini akamwangika yule mwokaji mkuu, kama Yusufu alivyowafasiria.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

lakini akamwangika yule mwokaji mkuu, sawasawa na jinsi Yusufu alivyowaambia katika tafsiri yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Bali akamtundika mkuu wa waokaji, kama Yusufu alivyowafasiria.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 40:22
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, baada ya mambo hayo, mnyweshaji wa mfalme wa Misri, na mwokaji wake, wakamkosea bwana wao, mfalme wa Misri.


Baada ya siku tatu Farao atakiinua na kukuondolea kichwa chako, na kukutundika juu ya mti, na ndege watakula nyama yako.


Wakamwambia, Tumeota ndoto wala hapana awezaye kuifasiri. Yusufu akawaambia, Nawaomba mniambie, kufasiri si ni kazi ya Mungu?


Yusufu akamjibu Farao, akisema, Si mimi; Mungu atampa Farao majibu ya amani.


Basi wakamtundika Hamani juu ya mti aliomwekea tayari Mordekai. Ghadhabu ya mfalme ikatulia.


Nabii aliye na ndoto, na aseme ndoto yake; na yeye aliye na neno langu, na aseme neno langu kwa uaminifu. Makapi ni kitu gani kuliko ngano? Asema BWANA.


Lakini mimi, sikufunuliwa siri hii kwa sababu ya hekima iwayo yote niliyo nayo zaidi ya watu wengine walio hai, bali kusudi mfalme afunuliwe ile tafsiri, nawe upate kujua mawazo ya moyo wako.


kwa kuwa roho njema kupita kiasi, na maarifa, na ufahamu, na uwezo wa kufasiri ndoto, na kufunua maneno ya fumbo, na kufungua mafundo, zilionekana katika Danieli huyo, ambaye mfalme alimwita Belteshaza. Basi na aitwe Danieli, naye ataionesha tafsiri.


Mungu wa baba zetu alimfufua Yesu, ambaye ninyi mlimwua mkimtundika katika mti.