Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 40:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yusufu akajibu, akasema, Tafsiri yake ndiyo hii Nyungo tatu ni siku tatu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yosefu akamwambia, “Tafsiri ya ndoto yako ni hii: Zile nyungo tatu ni siku tatu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yosefu akamwambia, “Tafsiri ya ndoto yako ni hii: Zile nyungo tatu ni siku tatu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yosefu akamwambia, “Tafsiri ya ndoto yako ni hii: zile nyungo tatu ni siku tatu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yusufu akamwambia, “Hii ndiyo maana yake: Vikapu vitatu ni siku tatu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yusufu akamwambia, “Hii ndiyo maana yake: Vikapu vitatu ni siku tatu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yusufu akajibu, akasema, Tafsiri yake ndiyo hii Nyungo tatu ni siku tatu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 40:18
8 Marejeleo ya Msalaba  

Yusufu akamwambia, Tafsiri yake ndiyo hii. Matawi matatu ni siku tatu.


Na katika ungo wa juu, mlikuwa na kila namna ya chakula kwa Farao, kazi za mwokaji; ndege wakavila katika ungo juu ya kichwa changu.


Baada ya siku tatu Farao atakiinua na kukuondolea kichwa chako, na kukutundika juu ya mti, na ndege watakula nyama yako.


Na huko pamoja nasi palikuwa na kijana; Mwebrania, mtumishi wa mkuu wa askari, tukamhadithia, naye akatufasiria ndoto zetu; akamfasiria kila mtu kama ilivyokuwa ndoto yake.


Wale ng'ombe saba wema ni miaka saba; na yale masuke saba mema ni miaka saba. Ndoto ni moja.


Hii ndiyo ile ndoto, nasi tutaihubiri tafsiri yake mbele ya mfalme.


wote wakanywa kinywaji kile kile cha roho; kwa maana waliunywea mwamba wa roho uliowafuata; na mwamba ule ulikuwa ni Kristo.


naye akiisha kushukuru akaumega, akasema, Huu ndio mwili wangu ulio kwa ajili yenu; fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu.