Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 4:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lameki akajitwalia wake wawili, jina la wa kwanza ni Ada, na jina la wa pili ni Sila.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lameki alioa wanawake wawili, mmoja aliitwa Ada na mwingine Sila.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lameki alioa wanawake wawili, mmoja aliitwa Ada na mwingine Sila.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lameki alioa wanawake wawili, mmoja aliitwa Ada na mwingine Sila.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lameki alioa wanawake wawili: mmoja aliitwa Ada, na mwingine Sila.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lameki alioa wanawake wawili, mmoja aliitwa Ada, na mwingine Sila.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lameki akajitwalia wake wawili, jina la wa kwanza ni Ada, na jina la wa pili ni Sila.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 4:19
8 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.


Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.


Henoko akamzaa Iradi, Iradi akamzaa Mehuyaeli; Mehuyaeli akamzaa Methushaeli; Methushaeli akamzaa Lameki.


Ada akamzaa Yabali; huyo ndiye baba yao wakaao katika hema na kufuga wanyama.


Lameki akawaambia wake zake, Sikieni sauti yangu, Ada na Sila; Enyi wake za Lameki, sikilizeni ninachosema; Maana nimemwua mtu kwa kunitia jeraha; Kijana kwa kunichubua;


Yehoyada akamwoza wake wawili, naye akazaa watoto wa kiume na wa kike.


Akawaambia, Musa, kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu, aliwapa ruhusa kuwaacha wake zenu; lakini tangu mwanzo haikuwa hivi.