Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 39:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Bwana wake akamtwaa Yusufu, akamtia gerezani, mahali wafungwa wa mfalme walimokuwa wamefungiwa, naye akawa humo gerezani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

akamchukua Yosefu na kumtia gerezani, mahali walipofungwa wahalifu wa mfalme.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

akamchukua Yosefu na kumtia gerezani, mahali walipofungwa wahalifu wa mfalme.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

akamchukua Yosefu na kumtia gerezani, mahali walipofungwa wahalifu wa mfalme.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Potifa akamchukua Yusufu na kumtia gerezani, mahali wahalifu wa mfalme walipokuwa wamefungwa. Lakini Yusufu alipokuwa huko gerezani,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Potifa akamchukua Yusufu na kumweka gerezani, mahali ambapo wahalifu wa mfalme walikuwa wamefungwa. Lakini wakati Yusufu alipokuwa huko gerezani,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Bwana wake akamtwaa Yusufu, akamtia gerezani, mahali wafungwa wa mfalme walimokuwa wamefungiwa, naye akawa humo gerezani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 39:20
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa sababu hakika niliibwa kutoka nchi ya Waebrania, wala hapa sikutenda jambo lolote hata wanitie gerezani.


Maana hasira ya binadamu itakusifu, Masalio ya hasira utajifunga kama mshipi.


Kwa kuonewa na kuhukumiwa aliondolewa; Na maisha yake ni nani angeyajali? Maana amekatiliwa mbali na nchi ya walio hai; Alipigwa kwa sababu ya makosa ya watu wangu.


Nao wakuu wakamkasirikia Yeremia, wakampiga, wakamtia gerezani katika nyumba ya Yonathani, mwandishi; kwa maana ndiyo waliyoifanya kuwa gereza.


Nami katika hiyo nimeteswa hata kufungwa kama mtenda mabaya; lakini neno la Mungu halifungwi.


wengine walijaribiwa kwa dhihaka na mapigo, naam, kwa minyororo, na kwa kutiwa gerezani;


Maana huu ndio wema hasa, mtu akivumilia huzuni kwa kumkumbuka Mungu, pale ateswapo pasipo haki.