Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 39:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ikawa, aliposikia ya kuwa nimepaza sauti yangu na kulia, aliiacha nguo yake kwangu, akakimbia, akatoka nje.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Aliposikia napiga kelele, aliliacha vazi lake, akakimbilia nje!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Aliposikia napiga kelele, aliliacha vazi lake, akakimbilia nje!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Aliposikia napiga kelele, aliliacha vazi lake, akakimbilia nje!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Aliposikia nikipiga yowe, akaacha vazi lake kando yangu, akakimbilia nje.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Aliposikia kelele za kuomba msaada, akaacha vazi lake kando yangu akakimbilia nje.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ikawa, aliposikia ya kuwa nimepaza sauti yangu na kulia, aliiacha nguo yake kwangu, akakimbia, akatoka nje.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 39:15
3 Marejeleo ya Msalaba  

akawaita watu wa nyumbani mwake, akasema nao, akinena, Angalieni, ametuletea mtu Mwebrania atufanyie dhihaka. Ameingia kwangu ili alale nami, nikalia kwa sauti kuu.


Basi akaiweka ile nguo kwake hata bwana wake aje nyumbani.


Ni nani atambuaye maovu yetu? Tumepanga njama kwa werevu mwingi, Maana katika moyo wa mtu na fikira mengi yamefichika.