Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 37:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

akawaambia, Tafadhalini, sikieni ndoto hii niliyoiota.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Aliwaambia, “Sikilizeni ndoto niliyoota:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Aliwaambia, “Sikilizeni ndoto niliyoota:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Aliwaambia, “Sikilizeni ndoto niliyoota:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akawaambia, “Sikilizeni ndoto niliyoota:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akawaambia, “Sikilizeni ndoto niliyoota:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

akawaambia, Tafadhalini, sikieni ndoto hii niliyoiota.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 37:6
5 Marejeleo ya Msalaba  

Yusufu akaota ndoto, akawapa ndugu zake habari, nao wakazidi kumchukia;


Tazama, sisi tulikuwa tukifunga miganda shambani, kumbe! Mganda wangu ukaondoka ukasimama, na tazama, miganda yenu ikazunguka ikainama mbele ya mganda wangu.


Yusufu akazikumbuka zile ndoto alizowaotea. Akawaambia, Wapelelezi ninyi, mmekuja ili mwuone utupu wa nchi.


Ndipo Yuda akamkaribia, akasema, Tafadhali, bwana wangu, mtumwa wako na aseme neno moja masikioni mwa bwana wangu, wala hasira yako isimwakie mtumwa wako, maana wewe u kama Farao.


Kisha walipomwambia huyo Yothamu, yeye akaenda, akasimama juu ya kilele cha kilima cha Gerizimu, akapaza sauti yake, akapiga kelele, na kuwaambia, Nisikieni mimi, enyi watu wa Shekemu, ili Mungu naye apate kuwasikia ninyi.