Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 37:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

wakamtwaa wakamtupa katika shimo; na hilo shimo ilikuwa tupu, hamna maji.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha wakamshika na kumtupa shimoni. Lakini shimo hilo halikuwa na maji.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha wakamshika na kumtupa shimoni. Lakini shimo hilo halikuwa na maji.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha wakamshika na kumtupa shimoni. Lakini shimo hilo halikuwa na maji.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha wakamchukua, wakamtupa katika shimo. Hilo shimo lilikuwa tupu, halikuwa na maji.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha wakamchukua wakamtupa katika shimo. Wakati huo shimo lilikuwa tupu, halikuwa na maji ndani yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wakamtwaa wakamtupa katika shimo; na hilo shimo ilikuwa tupu, hamna maji.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 37:24
12 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa Yusufu alipofika kwa ndugu zake, wakamvua Yusufu kanzu yake, kanzu ile ndefu aliyoivaa,


Nao wakakaa kitako kula chakula; wakainua macho yao, wakaona, msafara wa Waishmaeli wanakuja wakitoka Gileadi na ngamia zao, wakichukua ubani na zeri na manemane, wakisafiri kuvichukua mpaka Misri.


Wakaambiana, Kweli sisi tulimkosea ndugu yetu, kwa kuwa tuliona shida ya roho yake, alipotusihi, wala hatukusikia, kwa hiyo shida hii imetupata.


Maana bila sababu wamenifichia wavu, Bila sababu wameichimbia shimo nafsi yangu.


Akanipandisha toka shimo la uharibifu, Toka udongo wa utelezi; Akaisimamisha miguu yangu mwambani, Akaziimarisha hatua zangu.


Mimi umenilaza chini katika shimo, Katika mahali penye giza vilindini.


Wanijuao umewatenga nami; Umenifanya kuwa chukizo kwao; Nimefungwa wala siwezi kutoka.


Basi wakamtwaa Yeremia, wakamtupa katika shimo la Malkiya, mwana wa mfalme, lililo katika ukumbi wa walinzi; wakamshusha kwa kamba. Na mle shimoni hamkuwa na maji, ila matope tu; naye Yeremia akazama katika matope hayo.


Pumzi ya mianzi ya pua zetu, masihi wa BWANA, Alikamatwa katika marima yao; Ambaye kwa habari zake tulisema, Chini ya kivuli chake tutakaa kati ya mataifa.


Na kwa habari zako wewe, kwa sababu ya damu ya agano lako, nimewatoa wafungwa wako katika shimo lile lisilo na maji.