Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 37:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ikawa Yusufu alipofika kwa ndugu zake, wakamvua Yusufu kanzu yake, kanzu ile ndefu aliyoivaa,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yosefu alipowafikia ndugu zake, wao wakamvua kanzu yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yosefu alipowafikia ndugu zake, wao wakamvua kanzu yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yosefu alipowafikia ndugu zake, wao wakamvua kanzu yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo Yusufu alipowafikia ndugu zake, walimvua lile joho lake, lile joho lililofumwa vizuri alilokuwa amevaa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo Yusufu alipowafikia ndugu zake, walimvua lile joho lake, lile joho lililorembwa vizuri alilokuwa amevaa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ikawa Yusufu alipofika kwa ndugu zake, wakamvua Yusufu kanzu yake, kanzu ile ndefu aliyoivaa,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 37:23
8 Marejeleo ya Msalaba  

Reubeni akawaambia, Msimwage damu; mtupeni katika shimo hili lililopo nyikani, wala msimguse; ili apate kumwokoa katika mikono yao, akamrudishe kwa baba yake.


wakamtwaa wakamtupa katika shimo; na hilo shimo ilikuwa tupu, hamna maji.


Basi Israeli akampenda Yusufu kuliko wanawe wote, maana ni mwana wa uzee wake, akamfanyia kanzu ndefu.


Wakaambiana, Kweli sisi tulimkosea ndugu yetu, kwa kuwa tuliona shida ya roho yake, alipotusihi, wala hatukusikia, kwa hiyo shida hii imetupata.


Naye alikuwa amevaa kanzu ndefu; kwa kuwa kwa nguo hizo huvikwa binti za mfalme waliokuwa wanawali. Ndipo mtumishi wake akamtoa nje, akafunga mlango nyuma yake.


Wanagawanya nguo zangu, Na vazi langu wanalipigia kura.


Wakamvua nguo, wakamvika vazi jekundu.