Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 37:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akasema, Nawatafuta ndugu zangu; tafadhali uniambie mahali wanakochunga.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yosefu akamjibu, “Ninawatafuta ndugu zangu. Tafadhali, niambie mahali wanakochunga wanyama.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yosefu akamjibu, “Ninawatafuta ndugu zangu. Tafadhali, niambie mahali wanakochunga wanyama.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yosefu akamjibu, “Ninawatafuta ndugu zangu. Tafadhali, niambie mahali wanakochunga wanyama.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akamjibu, “Ninawatafuta ndugu zangu. Unaweza kuniambia wanachunga wapi makundi yao?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akajibu, “Ninawatafuta ndugu zangu. Unaweza kuniambia wanachunga wapi makundi yao?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akasema, Nawatafuta ndugu zangu; tafadhali uniambie mahali wanakochunga.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 37:16
4 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu mmoja akamkuta, naye alikuwa anazungukazunguka katika nyika; yule mtu akamwuliza, akisema, Unatafuta nini?


Yule mtu akasema, Wametoka hapa, maana niliwasikia wakisema, Twendeni Dothani. Basi Yusufu akawafuata ndugu zake akawakuta huko Dothani.


Nijulishe, ee mpendwa wa nafsi yangu, Ni wapi utakapolisha kundi lako, Ni wapi utakapolilaza adhuhuri. Kwa nini niwe kama aliyefungiwa shela, Karibu na makundi ya wenzako?


Kwa kuwa Mwana wa Adamu alikuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.