Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 37:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ndugu zake wakaenda kuchunga kondoo za baba yao huko Shekemu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Siku moja, ndugu zake Yosefu walikwenda kuchunga wanyama wa baba yao karibu na Shekemu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Siku moja, ndugu zake Yosefu walikwenda kuchunga wanyama wa baba yao karibu na Shekemu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Siku moja, ndugu zake Yosefu walikwenda kuchunga wanyama wa baba yao karibu na Shekemu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi ndugu zake walikuwa wameenda kuchunga makundi ya baba yao karibu na Shekemu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi, ndugu zake walikuwa wamekwenda kuchunga makundi ya baba yao karibu na Shekemu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndugu zake wakaenda kuchunga kondoo za baba yao huko Shekemu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 37:12
7 Marejeleo ya Msalaba  

Yakobo akaja kwa amani mpaka katika mji wa Shekemu, ulio katika nchi ya Kanaani, alipokuja kutoka Padan-aramu; akapiga kambi mbele ya huo mji.


Yakobo akakaa katika nchi aliyosafiri baba yake, katika nchi ya Kanaani.


Ndugu zake wakamhusudu; bali baba yake akalihifadhi neno hili.


Israeli akamwambia Yusufu, Je! Ndugu zako hawachungi kondoo katika Shekemu? Njoo, nikutume kwao. Akamwambia, Mimi hapa.


Semeni, Watumishi wako tumekuwa wachunga wanyama tangu ujana wetu, na hata leo, sisi, na baba zetu; mpate kukaa katika nchi ya Gosheni; maana kila mchunga wanyama ni chukizo kwa Wamisri.


wakafika watu kadhaa toka Shekemu, na toka Shilo, na toka Samaria, watu themanini, nao wamenyoa ndevu zao, na kurarua nguo zao, nao wamejikatakata, wakichukua sadaka na ubani mikononi mwao, ili wazilete nyumbani kwa BWANA.