Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 36:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hivi ni vizazi vya Esau, baba ya Edomu katika mlima Seiri.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wafuatao ni wazawa wa Esau, baba ya Waedomu katika nchi ya milima ya Seiri.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wafuatao ni wazawa wa Esau, baba ya Waedomu katika nchi ya milima ya Seiri.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wafuatao ni wazawa wa Esau, baba ya Waedomu katika nchi ya milima ya Seiri.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivi ndivyo vizazi vya Esau, baba wa Waedomu, katika nchi ya vilima ya Seiri.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hawa ndio wazao wa Esau, baba wa Waedomu, katika nchi ya kilima cha Seiri.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hivi ni vizazi vya Esau, baba ya Edomu katika mlima Seiri.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 36:9
10 Marejeleo ya Msalaba  

Yule mkubwa akazaa mwana, akamwita jina lake Moabu; huyo ndiye baba wa Wamoabi, hata leo.


Basi, Yakobo akapeleka wajumbe mbele yake kwenda kwa Esau nduguye mpaka nchi ya Seiri katika nyika ya Edomu.


Akawaagiza akisema, Mwambieni hivi bwana wangu, Esau, Hivi ndivyo asemavyo mtumwa wako, Yakobo; Nimekaa ugenini kwa Labani, na kukawia huko hata sasa,


Haya ndiyo majina ya wana wa Esau; Elifazi, mwana wa Ada mkewe Esau. Reueli, mwana wa Basemathi, mkewe Esau.


jumbe Magdieli, jumbe Iramu. Hao ndio majumbe wa Edomu, kulingana na makao yao, katika nchi ya mamlaka yao. Naye huyo ndiye Esau, baba ya Edomu.


Esau akakaa katika mlima Seiri, Esau ndiye Edomu.


Na baadhi yao, wana wa Simeoni wapatao watu mia tano, wakaenda mpaka mlima Seiri, na majemadari wao walikuwa Pelatia, na Nearia, na Refaya, na Uzieli, wana wa Ishi.


Maono yake Obadia. Ndivyo asemavyo Bwana MUNGU juu ya Edomu; Tumepata habari kwa BWANA, Na mjumbe ametumwa kati ya mataifa, Akisema, Haya, inukeni ninyi; Na tuinuke tupigane naye.


msipigane nao; kwa kuwa sitawapa sehemu ya nchi yao kamwe, hata kiasi cha kukanyaga wayo wa mguu; kwa kuwa nimempa Esau milima ya Seiri kuwa milki yake.


Kisha nikampa huyo Isaka, Yakobo na Esau; nami nikampa Esau mlima Seiri aumiliki; Yakobo na watoto wake wakashuka Misri.