Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 36:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ada akamzalia Esau Elifazi; na Basemathi alizaa Reueli.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ada alimzalia Esau Elifazi, naye Basemathi akamzalia Reueli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ada alimzalia Esau Elifazi, naye Basemathi akamzalia Reueli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ada alimzalia Esau Elifazi, naye Basemathi akamzalia Reueli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ada akamzalia Esau Elifazi; Basemathi akamzaa Reueli;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ada akamzalia Esau Elifazi, Basemathi akamzaa Reueli,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ada akamzalia Esau Elifazi; na Basemathi alizaa Reueli.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 36:4
7 Marejeleo ya Msalaba  

Esau alipokuwa mwenye miaka arubaini, akamwoa Yudithi, binti Beeri, Mhiti, na Basemathi, binti Eloni, Mhiti.


na Basemathi, binti Ishmaeli, nduguye Nebayothi.


Oholibama alizaa Yeushi, na Yalamu, na Kora. Hao ndio wana wa Esau aliozaliwa katika nchi ya Kanaani.


Wana wa Esau; Elifazi, na Reueli, na Yeushi, na Yalamu, na Kora.


Basi ikawa hao marafiki watatu wa Ayubu walipopata habari ya mabaya hayo yote yaliyomfikia, wakaja kila mtu kutoka mahali pake; nao ni Elifazi Mtemani, na Bildadi Mshuhi, na Sofari Mnaamathi; wakapatana pamoja ili waende kumfariji Ayubu na kumtuliza moyo.


Walipofika kwa Reueli baba yao, akasema, Imekuwaje hata mkarejea mapema leo?


Kisha Musa akamwambia Hobabu, mwana wa Reueli Mmidiani, mkwewe Musa, Sisi twasafiri kwenenda mahali ambapo BWANA amenena habari zake hivi, Nitawapa ninyi mahali hapo; uje pamoja nasi, nasi tutakufanyia mema; kwa kuwa BWANA ametamka mema juu ya Israeli.