Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 36:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akafa Shauli, akamiliki Baal-hanani, mwana wa Akbori, badala yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Shauli alipofariki, Baal-hanani, mwana wa Akbori, alitawala badala yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Shauli alipofariki, Baal-hanani, mwana wa Akbori, alitawala badala yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Shauli alipofariki, Baal-hanani, mwana wa Akbori, alitawala badala yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akafa Shauli, akamiliki Baal-hanani, mwana wa Akbori, badala yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 36:38
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akafa Samla, na Shauli wa Rehobothi, ulio karibu na mto, akamiliki badala yake.


Akafa Baal-hanani, mwana wa Akbori, akamiliki Hadadi badala yake; na jina la mji wake ni Pau; na jina la mkewe ni Mehetabeli, binti Matredi, binti Mezahabu.


Shauli akafa, naye Baal-Hanani, mwana wa Akbori, akatawala badala yake.


Baal-Hanani akafa, naye Hadadi akatawala badala yake; na jina la mji wake ni Pau; na jina la mkewe ni Mehetabeli, binti Matredi, binti Mezahabu.


na juu ya mizeituni na mikuyu iliyokuwamo katika Shefela alikuwa Baal-hanani, Mgederi; na juu ya ghala za mafuta alikuwa Yoashi;