Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 36:37 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akafa Samla, na Shauli wa Rehobothi, ulio karibu na mto, akamiliki badala yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi, ulio karibu na mto Eufrate, alitawala badala yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi, ulio karibu na mto Eufrate, alitawala badala yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi, ulio karibu na mto Eufrate, alitawala badala yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ng’ambo ya Mto Frati akawa mfalme baada yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ng’ambo ya Mto Frati akawa mfalme baada yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akafa Samla, na Shauli wa Rehobothi, ulio karibu na mto, akamiliki badala yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 36:37
4 Marejeleo ya Msalaba  

Akatoka katika nchi ile akaenda mpaka Ashuru, akajenga Ninawi, na Rehoboth-iri, na Kala;


Akafa Hadadi, akamiliki Samla wa Masreka badala yake.


Akafa Shauli, akamiliki Baal-hanani, mwana wa Akbori, badala yake.


Samla akafa, naye Shauli, wa Rehobothi karibu na Mto, akatawala badala yake.