Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 36:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na hawa ni wana wa Dishani, Usi, na Arani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watoto wa kiume wa Dishani walikuwa Usi na Arani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watoto wa kiume wa Dishani walikuwa Usi na Arani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watoto wa kiume wa Dishani walikuwa Usi na Arani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na hawa ni wana wa Dishani, Usi, na Arani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 36:28
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na hawa ni wana wa Eseri, Bilhani, na Zaawani, na Akani.


Hawa ndio majumbe waliotoka katika Wahori; jumbe Lotani, jumbe Shobali, jumbe Sibeoni, jumbe Ana,


Palikuwa na mtu katika nchi ya Usi, jina lake alikuwa akiitwa Ayubu; mtu huyo alikuwa mkamilifu na mwelekevu, ni mmoja aliyemcha Mungu, na kuepukana na uovu.


na watu wote waliochanganyika pamoja, na wafalme wote wa nchi ya Uzi, na wafalme wote wa nchi ya Wafilisti, na Ashkeloni, na Gaza, na Ekroni, na mabaki ya Ashdodi;


Furahi, ushangilie, Ee binti Edomu, Ukaaye katika nchi ya Usi; Hata kwako kikombe kitapita, Utalewa, na kujifanya uchi.