Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 36:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na wana wa Elifazi, ni Temani na Omari, na Sefo, na Gatamu, na Kenazi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watoto wa kiume wa Elifazi walikuwa Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watoto wa kiume wa Elifazi walikuwa Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watoto wa kiume wa Elifazi walikuwa Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wana wa Elifazi ni: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wana wa Elifazi ni: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wana wa Elifazi, ni Temani na Omari, na Sefo, na Gatamu, na Kenazi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 36:11
7 Marejeleo ya Msalaba  

Haya ndiyo majina ya wana wa Esau; Elifazi, mwana wa Ada mkewe Esau. Reueli, mwana wa Basemathi, mkewe Esau.


Na Timna alikuwa suria wa Elifazi, mwana wa Esau; naye akamzalia Elifazi Amaleki. Hao ndio wana wa Ada, mkewe Esau.


Basi ikawa hao marafiki watatu wa Ayubu walipopata habari ya mabaya hayo yote yaliyomfikia, wakaja kila mtu kutoka mahali pake; nao ni Elifazi Mtemani, na Bildadi Mshuhi, na Sofari Mnaamathi; wakapatana pamoja ili waende kumfariji Ayubu na kumtuliza moyo.


Kuhusu Edomu. BWANA wa majeshi asema hivi, Je! Hakuna tena hekima katika Temani? Mashauri yamewapotea wenye busara? Je! Imetoweka hekima yao?


Na mashujaa wako, Ee Temani, watafadhaika, hata iwe kila mtu akatiliwe mbali kwa kuuawa katika kilima cha Esau.