Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 35:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Siku za Isaka zilikuwa miaka mia moja na themanini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Isaka alikuwa na miaka 180

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Isaka alikuwa na miaka 180

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Isaka alikuwa na miaka 180

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isaka aliishi miaka mia moja na themanini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isaka aliishi miaka 180.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Siku za Isaka zilikuwa miaka mia moja na themanini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 35:28
5 Marejeleo ya Msalaba  

Baadaye ndugu yake akatoka, na mkono wake ukiwa umemshika Esau kisigino. Akaitwa jina lake Yakobo. Isaka alikuwa mwenye miaka sitini mkewe alipowazaa.


Abrahamu aliishi miaka mia moja na sabini na mitano.


Yakobo akaishi katika nchi ya Misri miaka kumi na saba, basi umri wake Yakobo ulikuwa miaka mia moja na arubaini na saba.


Yakobo akamjibu Farao, Siku za kuishi kwangu ni miaka mia moja na thelathini; siku za maisha yangu zimekuwa chache, tena za taabu, wala hazikufikia siku za maisha ya baba zangu katika siku za kuishi kwao.


Basi Yusufu akafa, mwenye miaka mia moja na kumi; wakampaka dawa, wakamtia katika sanduku, huko Misri.