Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 34:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akatoka Hamori, babaye Shekemu, kumwendea Yakobo, aseme naye.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hamori, baba yake Shekemu, akaenda kwa Yakobo ili azungumze naye,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hamori, baba yake Shekemu, akaenda kwa Yakobo ili azungumze naye,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hamori, baba yake Shekemu, akaenda kwa Yakobo ili azungumze naye,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha Hamori baba yake Shekemu akaenda kuzungumza na Yakobo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha Hamori baba yake Shekemu akaenda kuzungumza na Yakobo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akatoka Hamori, babaye Shekemu, kumwendea Yakobo, aseme naye.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 34:6
3 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Yakobo akasikia ya kwamba amembikiri Dina, binti yake. Na wanawe walikuwako pamoja na wanyama wake nyikani. Yakobo akanyamaza, hadi walipokuja.


Wanawe Yakobo waliposikia hayo, wakaja kutoka malishoni; nao wakasikitika sana, wakakasirika mno, kwa sababu amefanya upumbavu katika Israeli kwa kulala na binti Yakobo, jambo lisilostahili kutendeka.


Naye Gaali mwana wa Ebedi akasema, Abimeleki ni nani, na sisi wa Shekemu ni nani, hata tukamtumikie yeye? Je, huyu mwana wa Yerubaali na Zebuli afisa wake hawakuwatumikia watu wa Hamori babaye Shekemu? Basi, kwa nini tumutumikie?