Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 34:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nao wakasema, Je! Ni vema amtendee dada yetu kama kahaba?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hao ndugu wawili wakajibu, “Ana haki gani ya kumtendea dada yetu kama malaya?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hao ndugu wawili wakajibu, “Ana haki gani ya kumtendea dada yetu kama malaya?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hao ndugu wawili wakajibu, “Ana haki gani ya kumtendea dada yetu kama malaya?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini wakamjibu, “Je, ilikuwa vyema kumtendea dada yetu kama kahaba?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini wakamjibu, “Je, ilikuwa vyema kumtendea dada yetu kama kahaba?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao wakasema, Je! Ni vema amtendee dada yetu kama kahaba?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 34:31
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Yakobo wakawajibu Shekemu na Hamori babaye, kwa hila, maana amemharibu Dina, dada yao,


Wana wa Yakobo wakawajia hao waliouawa, wakaupora mji kwa sababu wamemharibu dada yao.


Yakobo akawaambia Simeoni na Lawi, Mmenitaabisha, kunifanya ninuke vibaya kati ya watu wa nchi hii, Wakanaani na Waperizi; na mimi, kwa kuwa watu wangu ni haba, watanikusanyikia, na kunipiga, nami nitaangamizwa, mimi na nyumba yangu.


Mungu akamwambia Yakobo, Ondoka, panda uende Betheli, ukakae huko; ukamfanyie Mungu madhabahu huko; yeye aliyekutokea ulipomkimbia Esau, ndugu yako.


Ghadhabu yao na ilaaniwe, maana ilikuwa kali, Na hasira yao, maana ilikuwa haina huruma. Nitawagawa katika Yakobo, Nitawatawanya katika Israeli.


Maana wivu ni ghadhabu ya mtu; Wala hatahurumia siku ya kujilipizia kisasi.