Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 33:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akajenga huko madhabahu, akaiita, El-elohe-Israeli.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Huko, akajenga madhabahu na kupaita Mungu ni Mungu wa Israeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Huko, akajenga madhabahu na kupaita Mungu ni Mungu wa Israeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Huko, akajenga madhabahu na kupaita Mungu ni Mungu wa Israeli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akajenga madhabahu pale na kupaita El-Elohe-Israeli.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Pale akajenga madhabahu na kupaita El-Elohe-Israeli.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akajenga huko madhabahu, akaiita, El-elohe-Israeli.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 33:20
10 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Abramu akahamisha hema yake, akaja na kukaa karibu na mialoni ya Mamre, nayo ni miti iliyoko Hebroni, akamjengea BWANA madhabahu huko.


Abrahamu akapanda mkwaju huko Beer-sheba, akaliitia huko jina la BWANA Mungu wa milele.


Akamwambia, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe umeshinda.


Akainunua sehemu ya nchi, alipopiga hema yake, kwa mkono wa wana wa Hamori, baba wa Shekemu, kwa vipande mia moja vya fedha.


Basi Dina, binti Lea, ambaye Lea alimzalia Yakobo, akatoka kuwaona binti za nchi.


Akajenga huko madhabahu, akapaita mahali pale, El-Betheli; kwa sababu huko Mungu alimtokea, hapo alipomkimbia ndugu yake.


Nuhu akamjengea BWANA madhabahu; akatwaa katika kila mnyama aliye safi, na katika kila ndege aliye safi, akavitoa sadaka za kuteketezwa juu ya madhabahu.


Kwa hiyo Daudi akamhimidi BWANA, mbele ya mkutano wote; naye Daudi akasema, Uhimidiwe, Ee BWANA, Mungu wa Israeli baba yetu, milele na milele.


Baba zetu waliabudu katika mlima huu, nanyi husema ya kwamba huko Yerusalemu ni mahali patupasapo kuabudia.