Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 32:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akamwuliza, Jina lako ni nani? Akasema, Yakobo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Naye akamwuliza, “Jina lako nani?” Yeye akamjibu, “Yakobo.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Naye akamwuliza, “Jina lako nani?” Yeye akamjibu, “Yakobo.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Naye akamwuliza, “Jina lako nani?” Yeye akamjibu, “Yakobo.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yule mtu akamuuliza, “Jina lako ni nani?” Akamjibu, “Ni Yakobo.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yule mtu akamuuliza, “Jina lako nani?” Akajibu, “Yakobo.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akamwuliza, Jina lako ni nani? Akasema, Yakobo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 32:27
7 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Niache, niende, maana kunapambazuka. Akasema, Sikuachi, usiponibariki.


Akamwambia, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe umeshinda.


Mungu akamwambia, Jina lako ni Yakobo; hutaitwa tena Yakobo, lakini Israeli litakuwa jina lako. Akamwita jina lake, Israeli.


Na mama yake yule mtoto akasema, Kama BWANA aishivyo, na roho yako iishivyo, sitakuacha. Basi akaondoka, akamfuata.


Huyo Yabesi akamlingana Mungu wa Israeli, akisema, Lau kwamba ungenibariki kweli kweli, na kuipanua mipaka yangu, na mkono wako ukawa pamoja nami, nawe ungenilinda nisipatwe na maovu wala madhara! Naye Mungu akamjalia hayo aliyoyaomba.


BWANA akujibu siku ya dhiki, Jina la Mungu wa Yakobo likuinue.


Na Yakobo alikimbia mpaka Padan-Aramu, Na Israeli alitumika apate mke; Ili apate mke alichunga kondoo.