Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 31:51 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Labani akamwambia Yakobo, Tazama rundo hili la mawe haya utazame na nguzo niliyoisimika kati ya mimi na wewe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Halafu Labani akamwambia Yakobo, “Tazama rundo hili la mawe na nguzo ambayo nimeisimika kati yako nami.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Halafu Labani akamwambia Yakobo, “Tazama rundo hili la mawe na nguzo ambayo nimeisimika kati yako nami.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Halafu Labani akamwambia Yakobo, “Tazama rundo hili la mawe na nguzo ambayo nimeisimika kati yako nami.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Pia Labani akamwambia Yakobo, “Hili ndilo lundo, na hii ndiyo nguzo niliyoisimamisha kati yako na mimi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Pia Labani akamwambia Yakobo, “Hili ndilo lundo, na hii ndiyo nguzo niliyoisimamisha kati yako na mimi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Labani akamwambia Yakobo, Tazama rundo hili la mawe haya utazame na nguzo niliyoisimika kati ya mimi na wewe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 31:51
2 Marejeleo ya Msalaba  

Ukiwatesa binti zangu, na ukitwaa wake zaidi ya binti zangu, wala hapana mtu pamoja nasi, tazama, Mungu ni shahidi kati ya mimi na wewe.


Chungu hii na iwe shahidi, na nguzo hii na iwe shahidi, ya kuwa mimi sitapita chungu hii kuja kwako, wala wewe hutapita chungu hii na nguzo hii uje kwangu, kwa madhara.