Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 31:49 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

na Mispa, maana alisema, Mungu avizie kati ya mimi na wewe, wakati tusipoonana.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

na ile nguzo akaiita Mizpa akisema, “Mwenyezi-Mungu na atulinde tuwapo mbali bila kuonana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

na ile nguzo akaiita Mizpa akisema, “Mwenyezi-Mungu na atulinde tuwapo mbali bila kuonana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

na ile nguzo akaiita Mizpa akisema, “Mwenyezi-Mungu na atulinde tuwapo mbali bila kuonana.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Pia liliitwa Mispa, kwa sababu alisema, “Mwenyezi Mungu na aweke ulinzi kati yako na mimi wakati hatuko pamoja.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Pia liliitwa Mispa, kwa sababu alisema, “bwana na aweke ulinzi kati yako na mimi wakati kila mmoja akiwa mbali na mwingine.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na Mispa, maana alisema, Mungu avizie kati ya mimi na wewe, wakati tusipoonana.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 31:49
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo mfalme Asa akatangaza kwa Yuda pia; asiachiliwe mtu; nao wakayachukua mawe ya Rama na miti yake, aliyoijengea Baasha; naye mfalme Asa akajenga kwa vitu hivyo Geba wa Benyamini na Mispa.


Sikieni haya, enyi makuhani, sikilizeni, enyi nyumba ya Israeli, tegeni masikio yenu, enyi wa nyumba ya mfalme, kwa kuwa hukumu hii yawahusu ninyi; maana mmekuwa mtego huko Mizpa, na wavu uliotandwa juu ya Tabori.


Wakati huo wana wa Amoni walikutana pamoja, wakapiga kambi huko Gileadi. Wana wa Israeli nao wakajikusanya wakapiga kambi Mispa.


Ndipo Yeftha akaenda pamoja na wazee wa Gileadi, na hao watu wakamfanya awe kiongozi, tena mkuu, juu yao; naye Yeftha akanena maneno yake yote mbele ya BWANA huko Mispa.


Ndipo Roho ya BWANA ikamjia Yeftha, naye akapita katika Gileadi na Manase, akapita na katika Mispa ya Gileadi, na kutoka hapo Mispa ya Gileadi akapita kuwaendea wana wa Amoni.


Na kwa habari ya neno lile tulilonena, wewe na mimi, angalia BWANA yu kati ya wewe na mimi milele.