Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 31:45 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yakobo akatwaa jiwe akalisimamisha kama nguzo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Yakobo akachukua jiwe, akalisimika kama nguzo ya ukumbusho.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Yakobo akachukua jiwe, akalisimika kama nguzo ya ukumbusho.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Yakobo akachukua jiwe, akalisimika kama nguzo ya ukumbusho.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo Yakobo akachukua jiwe, akalisimamisha kama nguzo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo Yakobo akachukua jiwe, akalisimamisha kama nguzo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yakobo akatwaa jiwe akalisimamisha kama nguzo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 31:45
5 Marejeleo ya Msalaba  

Yakobo akawaambia ndugu zake, Kusanyeni mawe. Wakatwaa mawe, wakafanya chungu, nao wakala huko karibu na ile chungu.


Yakobo akasimamisha nguzo mahali aliposema naye, nguzo ya mawe, akamimina juu yake sadaka ya kinywaji, akamimina mafuta juu yake.


Yoshua akayaandika maneno haya katika kitabu cha Torati ya Mungu; kisha akatwaa jiwe kubwa, akalisimamisha huko, chini ya ule mwaloni uliokuwa karibu na patakatifu pa BWANA.


Yoshua akawaambia watu wote, Tazama, jiwe hili litakuwa shahidi juu yetu; kwa maana limesikia maneno yote ya BWANA aliyotuambia, basi litakuwa shahidi juu yenu, msije mkamkana Mungu wenu.