Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 31:44 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Haya! Na tufanye agano, mimi na wewe, liwe kwa ushahidi kati ya mimi na wewe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, tufanye agano mimi nawe, liwe ushahidi kati yako nami.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, tufanye agano mimi nawe, liwe ushahidi kati yako nami.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, tufanye agano mimi nawe, liwe ushahidi kati yako nami.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Njoo sasa na tufanye agano, wewe na mimi, na liwe kama shahidi kati yetu.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Njoo sasa na tufanye agano, wewe na mimi, na liwe kama shahidi kati yetu.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Haya! Na tufanye agano, mimi na wewe, liwe kwa ushahidi kati ya mimi na wewe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 31:44
11 Marejeleo ya Msalaba  

Siku ile BWANA akafanya agano na Abramu, akasema, Uzao wako nimewapa nchi hii, kutoka mto wa Misri mpaka huo mto mkubwa, mto Frati,


Labani akasema, Chungu hii ni shahidi kati ya mimi na wewe hivi leo. Kwa hiyo likaitwa jina lake Galedi,


Chungu hii na iwe shahidi, na nguzo hii na iwe shahidi, ya kuwa mimi sitapita chungu hii kuja kwako, wala wewe hutapita chungu hii na nguzo hii uje kwangu, kwa madhara.


Basi sasa jiandikieni wimbo huu, uwafundishe wana wa Israeli; kawatie vinywani mwao, ili uwe shahidi kwangu wimbo huu, juu ya wana wa Israeli.


Tena itakuwa, wakiisha kujiliwa na mambo maovu mengi na mashaka, utashuhudia wimbo huu mbele yao kama shahidi, kwa maana hautasahauliwa katika vinywa vya uzao wao; kwani nayajua mawazo yao wayawazayo, hata sasa kabla sijawatia katika nchi niliyoapa.


Twaeni kitabu hiki cha torati, mkiweke kando ya sanduku la Agano la BWANA, Mungu wenu, ili kiwepo kama shahidi juu yako.


bali iwe ushahidi kati yetu nanyi, tena kati ya vizazi vyetu baada yetu, kwamba sisi tunamhudumia BWANA kwa njia ya sadaka zetu za kuteketezwa, na kwa dhabihu zetu, na kwa sadaka zetu za amani; ili kwamba wana wenu wasiwaambie wana wetu katika siku zijazo, Ninyi hamna fungu katika BWANA.