Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 31:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hata siku ya tatu Labani akaambiwa ya kwamba Yakobo amekimbia,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Siku tatu baadaye, Labani alijulishwa kwamba Yakobo amemtoroka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Siku tatu baadaye, Labani alijulishwa kwamba Yakobo amemtoroka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Siku tatu baadaye, Labani alijulishwa kwamba Yakobo amemtoroka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Siku ya tatu, Labani akaambiwa kwamba Yakobo amekimbia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Siku ya tatu Labani akaambiwa kwamba Yakobo amekimbia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hata siku ya tatu Labani akaambiwa ya kwamba Yakobo amekimbia,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 31:22
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akajitenga na Yakobo mwendo wa siku tatu; naye Yakobo akachunga wanyama wa Labani waliosalia.


Basi akakimbia yeye na yote aliyokuwa nayo; akaondoka akauvuka mto, na kuelekea kwenye nchi ya milima ya Gileadi.


akatwaa ndugu zake pamoja naye, akamfuata mwendo wa siku saba. Akampata katika mlima wa Gileadi.